Matukio Yetu
Habari na Matukio

Ukurasa wa Mabadiliko

Fuatilia kwa karibu hatua, matukio, na taarifa zote za hivi punde kutoka kwenye miradi yetu ya kijamii na uhifadhi wa mazingira Tanzania.

Mazingira na Jamii
Taarifa za Uhakika

Ukweli na Ubunifu

Kila mradi tunaoutekeleza una lengo la kuleta ustawi wa kiuchumi na kijamii. Soma hapa kujionea nguvu ya ushirikiano.

Habari za Hivi Punde

News & Updates

Zote Zilizopita
Habari Matukio
June 2026

Uzinduzi wa Kikao cha Ziara na Mafunzo

Taasisi imefanya kikao kikubwa cha uzinduzi wa ziara na mafunzo maalum ya kiuchumi na kijamii mkoani Dodoma.

Habari Mazingira
June 2026

Kampeni ya "Ziara Yangu Mti Wangu" Yashika Kasi

Zoezi la ugawaji na upandaji miti limeendelea kwa mafanikio makubwa kwenye maeneo ya vyanzo vya maji.

Habari Urithi
May 2026

Mradi wa "Shitaka Urithi Mazingira"

Uhamasishaji wa jamii kuhusu utunzaji wa urithi wa asili na ulinzi wa wanyamapori dhidi ya uharibifu.

Kwenye Kalenda Yetu

Upcoming Events

HOT
15 Julai 2026
Dodoma Mjini

Kongamano la Kiuchumi la Vijana na Wanawake

Kukutana na kuwajengea uwezo wa kibiashara na fursa za mitandao kiuchumi wajasiriamali wadogo.

02:00 Asubuhi | Cana Plaza
Maelezo
08 Agosti 2026
Mazingira

Zoezi la Kitaifa la "Ziara Yangu, Mti Wangu"

Zoezi kubwa la kupandisha miti kwenye maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kulinda vyanzo vya maji na kukabili ukame.

03:00 Asubuhi | Dodoma
Maelezo

Ofisi na Posta

Cana Plaza, Dodoma | S.L.P 1249 Dodoma

Simu

+255 659 961 277 / +255 659 961 278

Barua Pepe

nyanyukaafrikafoundation@gmail.com

Inua Jamii, Tunza Kesho

Mchango Wako Ndio Injini ya Mabadiliko

Kila shilingi unayochangia inakwenda moja kwa moja kununua miche ya miti, kutoa mafunzo kwa vijana, na kuimarisha mitandao ya kiuchumi ya kina mama na wafanyabiashara wadogo hapa Tanzania.